Misc Praise Songs – Deni Ya Dhambi (Guitar)
Key
-
Auto-scroll
Speed:
1.0x
Chords
[Verse 1]
D Deni yangu ya dhambi A D Yesu amelipa A Bm G Kwake Msalabani D A D Nilipewa uzima
[Chorus]
D Bm [tab]D A Msalabani D F#m G Ilimalizikia D A D Ni huru kabisa
[Verse 2]
D Bwana Yesu asema A D "Mwanangu dhaifu A Bm G Uwezo na ushindi D A D hupatikana kwangu"
[Chorus]
D Bm Deni ya dhambif D A Msalabani D F#m G Ilimalizikia D A D Ni huru kabisa
[Verse 3]
D Bwana, kweli naona A D Nguvu zako pekee A Bm G Huondoa ukoma D A D Niwe kiumbe kipya
[Chorus]
D Bm Deni ya dhambi D A Msalabani D F#m G Ilimalizikia D A D Ni huru kabisa
[Verse 4]
D Sina wema moyoni A D Nidai neema A Bm G Nakubali kabisa D A D kwa damu kusafishwa
[Chorus]
D Bm Deni ya dhambi D A Msalabani D F#m G Ilimalizikia D A D Ni huru kabisa
[Verse 5]
D Hata huko Mbinguni A D Migu-uni pake A Bm G "Yesu kanifilia," D A D Nitaimba milele
[Chorus]
D Bm Deni ya dhambi D A Msalabani D F#m G Ilimalizikia D A D Ni huru kabisa