Misc Praise Songs – Bwana Mungu Nakuomba Nifinyange (Guitar)

Capo 1 Video Lesson
Key
-

Auto-scroll

Chords

Beautiful swahili song. Artist seems unknown. [Verse 1]
  G         D           Em C             D          Em
Bwana mungu nakuomba sasa, unifanye kuwa kama upendavyo.

  G           D           Em
Maana wewe ni muweza wa yote,

  C            D          G
Unifanye kuwa kama upendavyo.

  G         D           Em C             D          Em
Bwana mungu nakuomba sasa, unifanye kuwa kama upendavyo.

  G           D           Em
Maana wewe ni muweza wa yote,

  C            D          G
Unifanye kuwa kama upendavyo.
[Chorus]
G        D  Em
Nifinyange' nifinyange

C             D           Em
Unifanye kuwa kama upendavyo.

G        D  Em
Nifinyange' nifinyange

C             D            G
Unifanye kuwa kama upendavyo.
[Verse 2]
  G         D           Em C             D          Em
Bwana mungu nakuomba sasa, unifanye kuwa kama upendavyo.

  G           D           Em
Maana wewe ni muweza wa yote,

  C            D          G
Unifanye kuwa kama upendavyo.
[Chorus]
G        D  Em
Nifinyange' nifinyange

C             D           Em
Unifanye kuwa kama upendavyo.

G        D  Em
Nifinyange' nifinyange

C             D            G
Unifanye kuwa kama upendavyo
[Verse 3]
G      D  Em
Nibariki, nibariki

C             D            Em
Unifanye kuwa kama upendavyo.

G       D  Em
Niongo-ze, niongoze

C             D            G
Unifanye kuwa kama upendavyo.

C             D            G
Unifanye kuwa kama upendavyo.

C             D            G
Unifanye kuwa kama upendavyo.
[Chorus]
G        D  Em
Nifinyange' nifinyange

C             D           Em
Unifanye kuwa kama upendavyo.

G        D  Em
Nifinyange' nifinyange

C             D            G
Unifanye kuwa kama upendavyo
[Outro] G D Em C D Em C D G